bio:U.R.T Presidentβs Office | District Commisioner Kisarawe | UDSM Alumni | Proud Citizen of the United Republic of Tanzania | Servant of the People. πΉπΏ
It is done, it is finished, it is well. I Love You Jesus. Thank you Jesus β€οΈ Stay safe and take precautions ππ½
2020-04-09 20:02
7731 93
Kheri ya kuzaliwa mama na kiongozi wetu @kmuwt_queenmlozi Mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi. Amen!!
Wanawake Jeshi Kubwa @uwt_taifa
Njano imekupendeza @mbogojesca ππ
Such a beautiful and talented young lady. Mimi ni shabiki wako tangu mwaka jana nilipoona cover yako ya Nadekezwa π
Iβm here to cheer for more talented/passionate young women in the music/entertainment and arts space π
Hongera kwa kukuza na kulea kipaji mama Khadija Kopa nawatakia kila la kheri na mafanikio tele @officialkhadijakopa @officialzuchu β€οΈ
2020-04-07 12:16
9886 90
Happy Karume Day
Illustration by my brother @rams.tagram
2020-04-05 15:45
9804 94
Best Cakes In Town. Been baking since 1995!!
Keki nzuri sana. Asante @sugarnspicetz
2020-04-05 12:25
16585 157
Theresia O Mhaiki. Happy new age sunshine. I love you cuz. Shine on β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ @teeolly #foe
2020-04-04 14:24
4925 116
God is faithful. Kheri ya kuzaliwa my brother, ndugu yangu wa siku nyingi Mhe DC @ggondwe sina mengi ya kusema yote nasemaga- wewe ni hazina, una moyo na utu wa ajabu, itoshe kwa leo kusema uzidi kuwa baraka Kwa nchi kiongozi wetu ππ½
Easily one of my favorite leaders in the country ππΉπΏ
2020-04-04 14:19
13792 117
Happy Birthday Sis. Hope you celebrate this new age properly πβΊοΈ. God bless you @zainabkatimba π
2020-04-03 14:59
11774 125
Mwezi wa kwanza Waziri wa Uwekezaji/ Minister of Investment Mhe Angela Kairuki alifanya ziara ya kikazi Kisarawe na kutembelea kiwanda chetu cha Chilambo Electronic Management Waste cha mwekezaji wetu mzawa. Mwenye kiwanda aliongelea changamoto kuu mbili umeme na maji ambazo kukosekana kwa huduma hizo kunasababisha kiwanda chake kuingia garama kubwa za uzalishaji. Kwenye kikao chetu uongozi wa wilaya tulimuahidi Mhe Waziri mpaka kufika mwezi wa tatu changamoto ya upatikanaji wa umeme kwenye kiwanda chetu hicho itakuwa historia.
Tunashukuru kwa ushirikiano mkubwa kutoka uongozi wa TANESCO KISARAWE aliweza kufungiwa transforma na tayari mwekezaji wetu huyu ameanza kupata umeme kwa ghrama nafuu utakaomuwezesha kuendesha hichi kiwanda lakini pia anajenga kiwanda kingine eneo karibu na hili cha kuzalisha mifuko mbadala ya matumizi ya kila siku. Nafurahi sana kuona tunaweza kutatua changamoto za wawekezaji wetu kwa wakati.
Pamoja na hayo namshukuru Mhe Waziri Angela Kairuki kwa kumpa ushauri mwekezaji wetu wa kujiandikisha TIC baada ya kugundua anatumia gharama kubwa sana kwenye kuagiza vifaa kutoka nje na kuvilipia kodi. Kujiandikisha TIC na kupatiwa certificate of incentives inakuwezesha kupata unafuu wa kodi kwenye uagizaji wa mahitaji mbalimbali hasa kwenye heavy duty machinery, heavy trucks kutoka nje kuingia nchini kwa ajili ya shughuli za uzalishaji. Na tayari mwekezaji wetu amekwishapata certificate yake. Hii ni hatua kubwa ya muhimu inayowapa ahueni wawekezaji wetu lakini pia inasaidia kuvutia uwekezaji zaidi hapa nchini. #KisaraweMpya #TanzaniaMpya #PwaniYaViwanda #HapaKaziTu πΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ