Umezaliwa siku nzuri mwana Gunnerz..siku ambayo Watford anakufa nyingi.. happy birthday @rahab_krestinina wish u gud life best..
2019-09-15 08:15
1453 37
Mkulu wa kilungule na Diwani wa kilungule @mkubwafellatmk anawakaribisha wananchi woooote wa DSM na vitongoji vyake kwenye uzinduzi wa #KilunguleYakijani utakaofanyika katika viwanja vya Kilungule..so uwe mwanachama wa CCM au wa chama chochote kile cha siasa au hata km hauna chama unakaribishwa katika viwanja vya kilungule.. ni leo kuanzia mida hii mpk saa 12 jioni..
2019-09-14 16:37
7020 244
Bado dakika 90 zingine wanayanga!! Msikonde..sema no 17 mgongoni tumepigwa!!
2019-09-14 09:43
21016 528
Siku ya vipensi Duniani.... YANGA AFRICA
2019-09-13 18:04
1388 34
BONGE LA TOTO !! BY @officialshetta. Link ipo Kwa Bio yake....!! ENJOY GOOD MUSIC 🔥🔥🔥🔥
2019-09-13 16:00
4197 72
Beach life🌴
2019-09-13 13:56
2078 45
Iringa imethibitishwa yakua na mimi nitakuepo... kwenye tamasha kubwa la #wasafifestival2019
Alivaa sket ya kaki na kitop cha blue.. alikua na mapozi kuliko yule wa @mrbluebyser1988 ..kitop kiliandikwa madee karibu Bujumbura.. #TBT ya mimi na @mbdog_master #Sagaplage
2019-09-12 14:21
727 22
Kwamahitaji ya Movie mpya iwe imetoka jana leo au series zote zinazotamba kwa sasa Duniani.. bas dondoka hapa @bobpaak_latest_movies_n_series wanapatikana hapa sinza madukani..