2019-09-13 10:33
33871 1181
Hiki kifo cha Martha kimekuja kama fundisho kwenye tasnia ya sanaa...Tunajisahau sometimes sisi wenye majina Mungu akutupa majina kama tuyatumie vibaya bali tukawe baraka pia kwa wengine,Nimekaa nimekitafakari na mimi pia nimejiona mkosefu kwasababu kuna vitu tunakosea na hatujui....sitaki kujudge kama tunakosea ila hivyo ndo jinsi nilivyotafakari mimi na akili zangu!Leo kila mtu anamjua Martha sio mbaya lakini tunaonaje tukibadilika na kutoa support iliyo ya kweli mpk mtu akajiona kabarikiwa kwa maana support tukiwa HAI...sahivi naona pages nyingi inapost vichekesho vyake hivi tungetumia mda huu kuona km ana kipaji enzi zake si angejihisi kabarikiwa zaidi kipindi yupo hai..Na mm najiita mkosefu kwasababu sijakamilika na hapa duniani tumekuja kweli kupita lakini sikuhizi napenda kutafakari kila kitu ninachokosea na natafuta kujibadilisha kwasababu hakuna mkamilifu....Mungu anatukumbusha tupendane,tumjue na tumkumbuke jamani...Kifo kimefika kwa Martha tena bado binti aliekuwa na ndoto km ww ulizokuwa nazo,aliekuwa na mtoto km wengine,anaetegemewa kama sisi,aliekuwa ana maono ya maisha yake km mimi na wewe lakini leo yuko wapi MARTHA...Hivyo kifo ni kipo na kinafanya kazi kila siku na hata iweje lazma tutimize ahadi hii ya KUFA kwasababu tulizaliwa ili tufe...Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema na tusijisahau km kifo kimewekwa kwa ajili yetu....Ukiamka jua kumshukuru Mungu kabla ya yote kwasababu anakupa pumzi yake bure anachotaka kwetu tumtegemee yeye tuππΏππΏMungu mpokee na MARTHA SALAMA NA UMPUMZISHE KTK PENDO LAKO HUKO π€